Tuanze na Viwanda vya Toothpick na Viberiti

Tuanze na Viwanda vya Toothpick na Viberiti

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,956
Reaction score
3,245
Ni aibu hata Viberiti na toothpick tunaagiza

Tunayo maengineer na tunayo wafanyabiashara
 
Kiwanda cha kiberiti kipo moshi kibomatch
 
Ni aibu hata Viberiti na toothpick tunaagiza

Tunayo maengineer na tunayo wafanyabiashara
Acha uongo labda vibiriti vya gas . Ila vibiriti kama . Kasuku na kangaroo tunatengeneza nchini. Murzah na dewji wanatengeneza. Kuhusu toothpick sina uhakika.
 
Gharama za kuendesha viwanda Tanzania ni kubwa

Kibo Match ilikufa kitambo

Kasuku na kangaroo ----Murzah na dewji wanatengeneza

Hawa wana park njiti za viberiti..Viberiti hivi vimetengenezwa Indonesia

Nunua viberiti na usome kasha lake
 
Nilienda kwenye Hotel kadhaa jijini Lumbumbashi nikakuta vitu kubao ni made in Tanzania.Visabuni vya kuoga, dawa za meno, toilet papers nikafurahi sana.viberiti na toothpick kutokutengenezwa Tanzaia ni fedhea tuna miti kibao na madini ya phophorus yapo kwa ajili ya kutengenezea vichwa vya njiti na karatasi yake ya kulipulia (ignition paper )
 
Back
Top Bottom