Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,883
- 61,613
Najaribu tu kumkumbuka Mfalme Suleiman na wake zake mia 7 na michepuko mia 3.... (Niko bar lakini)Ukiwa na mchepuko ambaye ni mke/mme wa mtu kihisia huwa inaumiza sana hasa pale yule mchepuko anapokuwa na mume/mke wake.Unahisi kama vile anakusaliti,kwa kujiuliza ninapopita mimi na yule naye anapita palepale.Kama jamii haitakuwa makini ni rahisi ndoa ya yule mchepuko kuto kustawi.
ha ha ha ha inahitaji roho ya chuma kuvumiliaNajaribu tu kumkumbuka Mfalme Suleiman na wake zake mia 7 na michepuko mia 3.... (Niko bar lakini)
Lakini hujaona inaweza ikasababisha maafa;nakumbuka kuna mchepuko mmoja alikuwa hataki kusikia nikiwa na mke wanguUtamu wa penzi la wizi kuukatisha inahitaji roho mtakatifu,
Inasaidia sana...ila sasa kupata muelewa na mstaarabu ni mtihaniWasio na Michepuko hufa Mapema sana!
Tafuta mchepuko ambaye hajuani na mkeo!Inasaidia sana...ila sasa kupata muelewa na mstaarabu ni mtihani
Kuna wawili nilikuwa nao ni balaa.......malengo yangu hayatimii ila ya kwao yanatimia;kila mmoja yuko kimaslai,huyjakaa sawa mizingaTafuta mchepuko ambaye hajuani na mkeo!
Ulikua wataka utimize nini kwa michepuko?Kuna wawili nilikuwa nao ni balaa.......malengo yangu hayatimii ila ya kwao yanatimia;kila mmoja yuko kimaslai,huyjakaa sawa mizinga
hahahaa ni sawa pia, kwanini wakae kwenye uhusiano hauna faida?Kuna wawili nilikuwa nao ni balaa.......malengo yangu hayatimii ila ya kwao yanatimia;kila mmoja yuko kimaslai,huyjakaa sawa mizinga
Nilikuwa nataka kampani tu..hata kama ni mahitaji yasiwe ya kukomoanaUlikua wataka utimize nini kwa michepuko?
ha ha ha ha nimeamua mchepuko wangu uwe pombe tu kwa sasahahahaa ni sawa pia, kwanini wakae kwenye uhusiano hauna faida?
Kampani kwani si una mke?Nilikuwa nataka kampani tu..hata kama ni mahitaji yasiwe ya kukomoana
Yah Pombe haijawahi msaliti mwanaume!ha ha ha ha nimeamua mchepuko wangu uwe pombe tu kwa sasa
Mariana ombi langu hajalijibu!Kampani kwani si una mke?
Ni kweli mkuuYah Pombe haijawahi msaliti mwanaume!
Kuna mazingira yananifanya wakati mwingine niwe mbali na family;mfano kikosi cha marekani kilichopo Japan kimeacha wake/familia zao marekani.Kampani kwani si una mke?
Bora upige pombe tu,kuna wakati ukiongea na watoto unahisi kujiingiza kwenye michepuko kwa asilimia kubwa inaweza kuharibu malengo ya watoto.Yah Pombe haijawahi msaliti mwanaume!
True, familia nyingi hii imetutokeaBora upige pombe tu,kuna wakati ukiongea na watoto unahisi kujiingiza kwenye michepuko kwa asilimia kubwa inaweza kuharibu malengo ya watoto.