wewe unataka kila kitu tuige nchi zingine? hatuwezi kuwa na mambo yetu tuu ambayo siyo lazima na nchi zingine ziwe nayo? acha kasumba za kuigaiga na kujiringanisha na nchi za wenzetu. wacha watu wajinafasi. kwani inakupunguzia nini au kukuongezea nini? acha roho na mioyo ya watanzania ifanye ile kitu roho inapenda, awe wa CHADEMA au wa CCM au wa TLP wache wavae. au nyie CCJ (eti now imekuwa CCK) hamna sare nini? POLENI