Email.Majina wameyaweka wapi kaka,kwenye gazeti,tovuti au wamempigia simu?
habari zenu wana jamii Forum!
nimesikia kua TTCL wameita watu kwa usaili kesho tarehe 06/10/2015 pale Institute of Adult Education Building kwa kada mbali mbali, aliye niambia yeye ametumiwa hizi taarifa kwa njia ya email, sasa naombeni kuuliza je kuna yeyote mwingine aliyeitwa?
Hata mie walinitumia ujumbe wa e-mail. But Sina uhakika coz Mbona waliandika tuende na material? Na mbona kwenye website Yao Hakuna tangazo Lolote?