TTCL kunani jamani?

TTCL kunani jamani?

MLINGANO

Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
15
Reaction score
2
Habari zenu ndugu zangu, nauliza mwenye taarifa yoyote kuhusu interview ya TTCL Iliofanyika TAASIS YA ELIMU YA WATU WAZIMA,Vip wameshatoa matokeo au kuna mtu yoyote amepigiwa simu? Naomba nifahamishwe jaman.
 
Habari zenu ndugu zangu,nauliza mwenye taarifa yoyote kuhusu interview ya TTCL Iliofanyika TAASIS YA ELIMU YA WATU WAZIMA,Vip wameshatoa matokeo au kuna mtu yoyote amepigiwa simu? Naomba nifahamishwe jaman.

vuta subira mdau siku hizi taasisi nying wanachukua muda mrefu kuita watu kazini yawezekana bajet zao zinasumbua
 
Wameshamaliza kusahihisha, kila post wameshortlist watu kumi.Wewe kaa mkao wa kula maana tuliokuwa pale Adult Education tulikuwa wengi sana,usichanganywe na wale watumishi watatu ambao walikuwa ni waajiriwa wa TTCL nakuhakikishia haki itatendeka hahahahaha
 
Wameshamaliza kusahihisha, kila post wameshortlist watu kumi.Wewe kaa mkao wa kula maana tuliokuwa pale Adult Education tulikuwa wengi sana,usichanganywe na wale watumishi watatu ambao walikuwa ni waajiriwa wa TTCL nakuhakikishia haki itatendeka hahahahaha

Sijaelewa, inakuwaje mwajiriwa wa TTCL anaomba tena kazi kampuni hiyo hiyo...
 
Wameshamaliza kusahihisha, kila post wameshortlist watu kumi.Wewe kaa mkao wa kula maana tuliokuwa pale Adult Education tulikuwa wengi sana,usichanganywe na wale watumishi watatu ambao walikuwa ni waajiriwa wa TTCL nakuhakikishia haki itatendeka hahahahaha

mweeeeeeeee
 
Sijaelewa, inakuwaje mwajiriwa wa TTCL anaomba tena kazi kampuni hiyo hiyo...

Unashangaa nini sasa hapo, mbona mimi nilikuwa BOA Bank Mwanza lakini posti za BOA Dar HQ zilivotoka nikaaply ndiyo nikahamishiwa Dar?
 
watu walikuwa wengi sana zaidi ya watu 200 na mliambiwa nafasi ziko mbili tu, kwahiyo ukiona hujaitwa usiogope sana. we songa kusaka kwingine
 
ndugu yangu wameshaita muda mrefu na watu sasa wamesharudi makwao kwani mmoja nilimpokea mimi mwenyewe majuzi alienda kufanya oral na kwenye panel ya watu wa inerview walikuwa wazungu wote. endelea kwingine usijali mkuu
 
ok vzuri sana...vp kwani ttcl ishabinafsishwa...maana panel ya wazungu tuu
 
ndugu,siwezi kudanganya jamii maana najua humu siyo jukwaa la siasa, huo ndiyo ukweli wameshafanya, labda kama hiyo interview siyo yenyewe. ila mimi ninayoijua wamefanya ni ya nafasi za IT ambayo writen kulikuwa pc-3 yaani mitihani mitatu ya kufanya na ulitakiwa ufanye yote mitatu. aliyeitwa ni rafiki yangu kabisa tulisoma class moja UDOM INFORMATICS na alilala kwangu maana alitoka mbozi mbeya
 
kama wameshafanya basi vijana mtakua mmetoswa
 
Back
Top Bottom