Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,464
- 21,945
Msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu maana Mungu hapendi uongo sasa hawa TTCL kila siku na mabango yanayosomeka nyumbani kumenoga rudi nyumbani!
Kiukweli kati ya makampuni ya simu yasiyojali wateja TTCL wameshika namba moja duniani hawajui wafanye nini ili wateja tufurahie huduma zao. Network ipo slow sana na haipo kabisa kwa maeneo kama Makabe, Msakuzi, Bunju Gezaulole nk.
T-Pesa nayo haina mawakala kila mtaa, mbaya zaidi computer za kampuni zinapoteza PIN namba za wateja hivyo ikitaka kutoa pesa zinajibu invalid pin number.
Mnakwama wapi enyi wazalendo TTCL? Mabeberu wapo vizuri kuwahudumia na kuwajali wateja wao.
Hakika nyumbani hakujanoga mie nimerudi kwa mabeberu endeleeni kuwadanganya wapenda mteremko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli kati ya makampuni ya simu yasiyojali wateja TTCL wameshika namba moja duniani hawajui wafanye nini ili wateja tufurahie huduma zao. Network ipo slow sana na haipo kabisa kwa maeneo kama Makabe, Msakuzi, Bunju Gezaulole nk.
T-Pesa nayo haina mawakala kila mtaa, mbaya zaidi computer za kampuni zinapoteza PIN namba za wateja hivyo ikitaka kutoa pesa zinajibu invalid pin number.
Mnakwama wapi enyi wazalendo TTCL? Mabeberu wapo vizuri kuwahudumia na kuwajali wateja wao.
Hakika nyumbani hakujanoga mie nimerudi kwa mabeberu endeleeni kuwadanganya wapenda mteremko.
Sent using Jamii Forums mobile app