TSN Supermarket at Kibo Commercial Complex Tegeta, wanalipisha hela zaidi ya ile ya halali

Kwani ni lazima kununua bidhaa hiyo TSN tu? Ukiona hali ni ya namna hiyo, hupashwi kuumiza kichwa sana, unatafuta tu supermarket nyingine maana zipo, na zimejaa kama uyoga!
 
Kwani ni lazima kununua bidhaa hiyo TSN tu? Ukiona hali ni ya namna hiyo, hupashwi kuumiza kichwa sana, unatafuta tu supermarket nyingine maana zipo, na zimejaa kama uyoga!

Mkuu, TSN ni case study. Haya yaweza kutokea sehemu nyingine! Hii ni taadhali popote uendapo kununua kuwa makini usiibiwe!
 
TSN walipeni wafanyakzi wenu na kuwasimamia vizuri waache kuwaibia wananchi. Vinginevyo ipo siku mtalipa gharama kubwa!
 
Mara kadhaa huwa nanunua bidhaa pale. Jamaa wameharibu display inayomwonyesha mteja kiasi cha kulipa na halafu hawatoi risit hadi uombe kupewa risiti.

Sasa wanachofanya ni hivi: kwanza wanachana lebo za bei (price tag) kwenye chanja, hivyo kwa walio wanokuja kununua vitu wanazoa bila kujua vinagharimu kiasi gani wakiamini kuwa machine pale counter zitasema.

Pili, wameharibu vioo vinavyomwonyesha mteja kila anapoongeza bidhaa katika orodha ya malipo. Kwa vile mteja haoni hesabu halisi, anasubiri kuambiwa lipa kiasi fulani. Japokuwa risit inaprint, hawatoi hadi uiombe.

Juzi nilinunua vitu vya sh 10500, ila yule dada cashier akanambia lipa 15000. Nikamlipa ela, ila nikamwambia anipe risit. Alivyotoa risiti, akanirudishia na change 4500!

Nilishtuka kwa vile nilikuwa nimeshakadiria bei. Lakni pia siku nyingine niliwahi kufanyiwa hivyo, niligundua baada ya kufika nyumbani.

So kuweni makini kudai risiti. Ila pia wahusika wahakikishe mteja anaona mwenyewe kiasi halali anachopaswa kulipa.

Shukran mkuu kwa taarifa
 
Mara kadhaa huwa nanunua bidhaa pale. Jamaa wameharibu display inayomwonyesha mteja kiasi cha kulipa na halafu hawatoi risit hadi uombe kupewa risiti.

Sasa wanachofanya ni hivi: kwanza wanachana lebo za bei (price tag) kwenye chanja, hivyo kwa walio wanokuja kununua vitu wanazoa bila kujua vinagharimu kiasi gani wakiamini kuwa machine pale counter zitasema.

Pili, wameharibu vioo vinavyomwonyesha mteja kila anapoongeza bidhaa katika orodha ya malipo. Kwa vile mteja haoni hesabu halisi, anasubiri kuambiwa lipa kiasi fulani. Japokuwa risit inaprint, hawatoi hadi uiombe.

Juzi nilinunua vitu vya sh 10500, ila yule dada cashier akanambia lipa 15000. Nikamlipa ela, ila nikamwambia anipe risit. Alivyotoa risiti, akanirudishia na change 4500!

Nilishtuka kwa vile nilikuwa nimeshakadiria bei. Lakni pia siku nyingine niliwahi kufanyiwa hivyo, niligundua baada ya kufika nyumbani.

So kuweni makini kudai risiti. Ila pia wahusika wahakikishe mteja anaona mwenyewe kiasi halali anachopaswa kulipa.

Kaka hawa TSN ni balaa..kuna siku nimeingia pale..nikanunua bidhaa zangu nikalipa ila wakati natoka mtoto akalilia big G flani pale counter..akachukua mbili..nimetoa elf tano narudishiwa buku tu..nikahoji ndo bei yake..hadi bro mmoja akaniambia hawa wadada wanapiga sana cha juu..ukiomba receipt wanahaha..toka siku hiyo siendi tena
 
Mara kadhaa huwa nanunua bidhaa pale. Jamaa wameharibu display inayomwonyesha mteja kiasi cha kulipa na halafu hawatoi risit hadi uombe kupewa risiti.

Sasa wanachofanya ni hivi: kwanza wanachana lebo za bei (price tag) kwenye chanja, hivyo kwa walio wanokuja kununua vitu wanazoa bila kujua vinagharimu kiasi gani wakiamini kuwa machine pale counter zitasema.

Pili, wameharibu vioo vinavyomwonyesha mteja kila anapoongeza bidhaa katika orodha ya malipo. Kwa vile mteja haoni hesabu halisi, anasubiri kuambiwa lipa kiasi fulani. Japokuwa risit inaprint, hawatoi hadi uiombe.

Juzi nilinunua vitu vya sh 10500, ila yule dada cashier akanambia lipa 15000. Nikamlipa ela, ila nikamwambia anipe risit. Alivyotoa risiti, akanirudishia na change 4500!

Nilishtuka kwa vile nilikuwa nimeshakadiria bei. Lakni pia siku nyingine niliwahi kufanyiwa hivyo, niligundua baada ya kufika nyumbani.

So kuweni makini kudai risiti. Ila pia wahusika wahakikishe mteja anaona mwenyewe kiasi halali anachopaswa kulipa.

Kuna siku nilipata matatizo ya customer care TSN Supermarketlakini nilikuja kugundua hili ni tatizo la watanzania wote, na kwa maana hiyoni tatizo la wafanyakazi zaidi na wala si Policy ya kampuni. Katika jitihada zakumsaidia mwenye kampuni ambaye ni Mzawa na mtanzania mwenzetu, nilipiga nambaya simu iliyopo kwenye shopping bags zao kulalamika, lakini nikapewa pia namba0688 990 496 na 0658 775 210 za kuwasiliana nao incase napata tatizo tena.
Kuna wafanyakazi wengine wanaharibu sifa ya kampuni kwa poorcustomer care ama kuwazidishia wateja bei na hivyo tatizo hilo kuwa sifa mbayakwa kampuni!
 
Back
Top Bottom