Trump na ziara ya Saudi Arabia

mzee wa liver

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
83,441
431,885
Wadau naomba kuuliza hivi ziara ya kwanza nje Marekani tangu awe rais wa Marekani Donald Trump ameamua kuchagua Saudi Arabia hii ina maana gani kwa siasa za dunia hii na mashariki ya kati
 
Saudi Arabia ni mmoja wa washirika wa nguvu sana wa US na wa miaka mingi. Kuanza na huko kunaonesha ushirikiano wao kuwa ni mkubwa.

Pia ukumbuke kiongozi wa kwanza kukutana na Trump alikuwa Waziri Mkuu wa Israel. Ndio wakaja wakina May wa Uingereza , Xi Jin Ping wa China na Al sisi wa Misri.

Angalia hayo mataifa vizuri .


Kama ni mfatiliaji wa siasa za kimataifa wala sio mageni yote hayo
 
Anatafuta Uungwaji Mkono na Saudia washirikiane kumtwanga Muiran kwa kuwa Ma Panki yule Mpagani wa Korea hasomeki
 
Tembelea mitandao wamejadili kwa kina sana.

Mosi, Trump na hela huwatenganishi. Pale Saudia pana hela ya bwerere mamwinyi wale hawajui waifanyie nini. Trump atawajengea maviwanda ya silaha ili wachinjane vizuri ukanda huo dili lenye thamani ya USD 350bn. Haijapata kutokea. Kwa dili hilo hata kwa Shetani binadamu yeyote angeenda sembuse Saudia.

Pili, is more or less political. Eti wanasema anataka kuprove wrong wanaodai yeye ni adui wa Uislamu. So amechagua kuanzia Uislam ulipoanzia, then ataelekea nyumbani kwa Uyahudi (Israel); then home to Christianity (Vatican). He is so strategic.

Tatu, ni onyo kali kwa Iran na program zake za kijinga. Anajaribu kuwagawa makundi; Iran and her allies vs Saudia and her allies. Hope umesikia mapendekezo yake huko.

All in all, haijawahi kiongozi yeyote wa dunia kupokewa kwa heshima na hadhi aliyopewa Trump huko Saudia.
 
Saudi Arabia ni mmoja wa washirika wa nguvu sana wa US na wa miaka mingi. Kuanza na huko kunaonesha ushirikiano wao kuwa ni mkubwa.

Pia ukumbuke kiongozi wa kwanza kukutana na Trump alikuwa Waziri Mkuu wa Israel. Ndio wakaja wakina May wa Uingereza , Xi Jin Ping wa China na Al sisi wa Misri.

Angalia hayo mataifa vizuri .


Kama ni mfatiliaji wa siasa za kimataifa wala sio mageni yote hayo
Asante kwa taarifa hii nazidi kuelimika
 
Tembelea mitandao wamejadili kwa kina sana. Mosi, Trump na hela huwatenganishi. Pale Saudia pana hela ya bwerere mamwinyi wale hawajui waifanyie nini. Trump atawajengea maviwanda ya silaha ili wachinjane vizuri ukanda huo dili lenye thamani ya USD 350bn. Haijapata kutokea. Kwa dili hili hata kwa Shetani binadamu yeyote angeenda sembuse Saudia.

Pili, is more or less political. Eti wanasema anataka kuprove wrong wanaodai yeye ni adui wa Uislamu. So amechagua kuanzia Uislam ulipoanzia, the ataelekea nyumbani kwa Uyahudi (Israel); then home to Christianity (Vatican). He is strategic.

Tatu, ni onyo kali kwa Iran na program zake za kijinga. Anajaribu kuwagawa makundi; Iran and her allies vs Saudia and her allies. Hope umesikia mapendekezo yake huko.

All in all, haijawahi kiongozi yeyote wa dunia kupokewa kwa heshima na hadhi aliyopewa Trump huko Saudia.
Nimeona mkuu kwenye media jamaa amepewa hospitality ya hali ya juu kibaya zaidi naona hata mtoto wake Ivanka amechukua headlines sana kwenye ziara hii huyu jamaa kweli hajawahi kushindwa kwenye maisha yake
 
Back
Top Bottom