mcomunisti halisi
Senior Member
- Jan 17, 2017
- 103
- 328
Sasa Trump analalamika Iran ana dominate Iraq ,wakati wao "Republicans" ndio wamesababisha chaos Iraq na wameshindwa kuyasuluhisha miaka yote.
Iran&Russia saizi wana dominate syria na saizi Iran anajidai Iraq na huenda Iran&Russia wakawa ma master middle east
Deal waliyoingia Iran na Obama mwaka jana inawapa kiburi
Kuwa mpole Trump endelea na mipasho yako Twitter huku Iran&Russia wakifanya yao kimya kimya bila kupost Twitter.
Iran&Russia saizi wana dominate syria na saizi Iran anajidai Iraq na huenda Iran&Russia wakawa ma master middle east
Deal waliyoingia Iran na Obama mwaka jana inawapa kiburi
Kuwa mpole Trump endelea na mipasho yako Twitter huku Iran&Russia wakifanya yao kimya kimya bila kupost Twitter.
