...Treni ya Mwakyembe Yajeruh

...Treni ya Mwakyembe Yajeruh

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,220
Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo,
Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma.

Walio karibu watujuze
 
Sasa hilo kosa la treni au mtu aliyekuwa anadandia? Bdilisha kichwa cha habari. Treni halijajeruhi hapa!!
Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo,
Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma.

Walio karibu watujuze
 
Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo,
Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma.

Walio karibu watujuze

Kaka sidhani kama treni ya Mwakyembe inakosa...huyo mtu aliyedandia ndo anamakosa...a
 
Kwa nn useme treni ya Mwakyembe? Watanzania tumekuwa na mambo ya ajabu kweli, mara samaki wa magufuli.
 
Treni haikumjeruhi bali amejijeruhi mwenyewe kwa kutaka kudandia treni.. Badili heading bana...
 
Na wasipoacha mambo hayo watakufa sana, treni sio coaster.
 
Kwa mujibu wa mleta habari mimi naona treni ndio imejeruhiwa hapo. Pole zangu za dhati ziifikie treni na naitakia afya njema.
 
Nimepigiwa simu muda huu kuwa,kuna mtu alitaka kudandia tren stand ya kamata kariakoo,
Inasemekana alikosea kuirukia na kujibamiza kwenye vyuma.

Walio karibu watujuze
Mkuu zubedayo_mchuzi hujasomeka vizuri!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom