TRC: Ajali imesababiswa na hitilafu za kiuendeshaji

TRC: Ajali imesababiswa na hitilafu za kiuendeshaji

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Shirika Ia Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa kuhusu ajali ya treni ya EMU iliyokua ikisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma majira ya saa 2:00 asubuhi Oktoba 23, 2025

Taarifa ya TRC imeeleza kuwa ajali hiyo imesababishwa na hitilafu za kiuendeshaji, tukio hili limetokea kituo cha Ruvu na kwa taarifa za awali hakuna tukio la kifo.

Soma: Treni ya SGR yapata ajali asubuhi leo Oktoba 23, 2025 ikitokea Dar kuelekea Dodoma

TRC imesema Timu ya wataalamu ikiongozwa na Katibu Mkuu Uchukuzi, Mkurugenzi Mkuu TRC, vyombo vya ulinzi na usalama na menejimenti ya TRC inaendelea na uchunguzi wa kina na juhudi za kuhakikisha kwamba huduma zetu zinarejea haraka

TAARIFA KWA UMMA.jpg
 
Shirika Ia Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa kuhusu ajali ya treni ya EMU iliyokua ikisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma majira ya saa 2:00 asubuhi Oktoba 23, 2025

Taarifa ya TRC imeeleza kuwa ajali hiyo imesababishwa na hitilafu za kiuendeshaji, tukio hili limetokea kituo cha Ruvu na kwa taarifa za awali hakuna tukio la kifo.

Soma: Treni ya SGR yapata ajali asubuhi leo Oktoba 23, 2025 ikitokea Dar kuelekea Dodoma

TRC imesema Timu ya wataalamu ikiongozwa na Katibu Mkuu Uchukuzi, Mkurugenzi Mkuu TRC,
vyombo vya ulinzi na usalama na menejimenti ya TRC inaendelea na uchunguzi wa kina na juhudi za kuhakikisha kwamba huduma zetu zinarejea haraka

Wanakwambia mkapige kura mavi hao
 

Tanzania Railways Authority : Accident caused by operational errors​



The Tanzania Railways Corporation (TRC) has released a statement regarding the accident of an EMU train traveling from Dar es Salaam to Dodoma at 8:00 am on October 23, 2025.

The TRC statement stated that the accident was caused by operational errors, this incident occurred at Ruvu station and according to initial reports there was no fatality.

Read: SGR train had an accident this morning on October 23, 2025 traveling from Dar to Dodoma

TRC said that a team of experts led by the Secretary General for Transport, the Director General of TRC,
security and safety agencies and TRC management are continuing with a thorough investigation and efforts to ensure that our services are restored quickly

View: https://m.youtube.com/watch?v=tRcr8rYV3Qc
 
Nilikua nimekata tiketi ya tr 24/10/2025 itawezekana kusafiri kweli wadau au nitafute njia nyingine ya usafiri.
 
Hili ni tatizo kubwa na ni sababu tosha inayoweza fanya watu wakapungua kupanda SGR...

Tatizo la kiuendeshaji linaweza kujirudia tena na tena, ni sawa na kusema ajali imeaababishwa na TRC kushindwa kuzingatia namna ya kuoperate hiyo train...
 
Wenzetu wana bullet trains na usimamizi kuhusu usalama uko juu vibaya mno. Sisi huu mkweche tunashundwa kusimamia? So hapo tenda mpya zitatangazwa watu wataondoka na chao
 
Back
Top Bottom