kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 591
YALIYOJIRI DIRISHA LA USAJILI 2014/15 - BIG SIGNINGS
MANUTD
- Hatimaye KILLER Radamel Falcao (28) ametua ManUtd kwa mkopo wa msimu mmoja, kwa dau la £6m na mshahara wa £350,000 kwa wiki (£184,000 baada ya kukatwa kodi). ManUtd itaruhusiwa kumnunua jumla kwa kitita cha £74m.
- Javier Hernandez (CHICHARITO, 26) ametua Real Madrid kwa mkopo.
- Playmaker Shinji Kagawa (25) amerudi Borrusia Dortmund kwa dau la £8m.
- Beki Daley Blind (24, Holland) ametua ManUtd kwa dau la £13.8m
- Winga anayetisha Angel Di Maria (26) amekamilisha usajili Old Trafford kwa dau la £59.7m.
- Mkoba Marcos Rojo (16) ametua ManUtd kwa dau la 16m kutoka Sporting Lisbon, huku Winga Nani akielekea upande wa pili kwa mkopo.
- Mlinzi Rio Ferdinand (35) amehamia QPR kwa mkataba wa mwaka 1.
- Beki kinda Luke Shaw (19) ametua ManUtd kwa dau la £27m, kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa £100,000 kwa wiki. Luke Shaw anakuwa kinda ghali zaidi ndani ya EPL.
- Kiungo wa Athelic Bilbao Ander Herrera (25) ametua ManUtd kwa dau la £29m kwa mkataba wa miaka 5.
ARSENAL
- Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti huenda akatua ARSENAL msimu ujao kuchukua nafasi ya Arsene Wenger ambaye anaviziwa na Monaco ya Ufaranza kwa dau NENE.
- Mshambuliaji Danny Welbeck (23) ametua Arsenal kwa dau la £16m.
- Beki wa Arsenal Thomas Vermaelen (28) ametua Barcelona kwa dau la £15m.
- Beki kinda wa kulia Carl Jenkinson (22) amekwenda Westaham kwa mkopo.
- Beki kinda wa Southampton Calum Chambers (19, England) ametua Arsenal kwa dau la £16m.
- Golikipa wa Nice ya Ufaransa David Ospina (25, Colombia) ametua Arsenal kwa kitita cha £3.2m.
- Beki wa kulia wa Newcastle Mathieu Debuchy (28) ametua Arsenal kwa mkataba ambao haujawekwa wazi.
- Mshambuliaji wa Barca Alexis Sanchez (25) ametua Arsenal kwa kitita cha £35m.
- Golikipa Lukasz Fabianski (29) amehamia Swansea kama mchezaji huru.
CHELSEA
- Hatimaye mshambuliaji Loic Remy (17, France) ametua Chelsea kwa dau la £10.5m na mkataba wa miaka 4.
- Mkongwe Samuel Eto'o (33) amehamia Everton akiwa mchezaji huru.
- Kinda Romelu Lukaku (21, Belgium) amehamia Everton kwa dau la £28m kwa mkataba was miaka 5.
- Mkongwe Didier Drogba (36) ametua darajani kwa mkataba wa mwaka 1.
- Mshambuliaji Demba Ba (29) amehamia Besiktas kwa kitita cha £8m.
- Beki wa kushoto Filipe Luis (28, Brazil) ametua darajani kutoka Atletico Madrid kwa kitita cha £16m.
- Mshambuliaji anayetisha duniani kwa sasa Diego Costa (25) ametua Chelsea kwa dau la £32m.
- Kiung) ao mshambuliaji Cesc Fabregas (27) ametua Chelsea kwa dau la £30m, kwa mkataba wa miaka 5! Atavaa jezi namba 4.
- Beki anayepanda David Luiz (27) ametua PSG kwa kitita cha £40m, kwa mkataba wa miaka 5.
- Mkongwe Frank Lampard (35) amehamia New York City ya MLS, USA. Atachezea ManCity kwa miezi 6 kwa mkopo akisubiri MLS.
LIVERPOOL
- Mario Balotelli (24) ametua Liverpool kwa dau la £16m na mshahara wa £110,000 kwa wiki. Atavaa jezi namba 45.
- Kipa Victor Valdes (32) amekamilisha usajili wa kuhamia Liverpool. atatua Anfield mwezi Novemba.
- Beki wa kushoto Alberto Moreno (22, Spain) wa Sevilla ametua Liverpool kwa dau la £12m.
- Mshambuliaji kinda Divock Origi (19, Belgium) amehamia Liverpool kwa dau la £10m. Lakini atabaki Lille kwa mkopo.
- Beki 'mkoba' Dejan Lovren (25, Croatia) wa Southampton ametua Liverpool kwa dau la £20m. Ujio wa Lovren umemwondoa Daniel Agger (29) ambaye amerudi kwao Denmark kujiunga na timu yake ya zamani Brondby.
- Winga kinda Lazar Markovic (20) ametua Liverpool kwa dau la £20m kutoka Benfica.
- Luis Suarez amehamia Barcelona kwa tita la £75m, mkataba wa miaka 5.
- Kiungo Adam Lallana (26) amehamia Liverpool kwa mkataba wa miaka 5 kwa dau la £25m na mshahara wa £100,000 kwa wiki.
- Mshambuliaji wa England Rickie Lambert (32) ametua Liverpool kwa mkataba wa miaka 2 kwa dau la £4m.
MANCITY
- Beki Micah Richards (26) ametua Fiorentina kwa mkopo kwa dau la £3.5m.
- Mshambuliaji Alvaro Negredo (29) ametua Valencia kwa mkopo.
- Mkoba kisiki wa Porto Eliaquim Mangala (23) ametua ManCity kwa dau la £32m.
- Kiungo mkongwe Frank Lampard (35) ametua ManCity kwa mkopo wa miezi 6 ili kujikeep fit akisubiri msimu wa MLS.
- Full Beki JEMBE Bacary Sagna (31) amesaini mkataba wa miaka 3. Atalipwa £140,000 kwa wiki.
- ManCity wametega dau la £53m kumng'oa kiungo kinda anayetisha duniani Paul Pogba (21) kutoka Juventus.
ULAYA
- Kiungo wa Real Madrid Xabi Alonso (32) ametua Bayern Munich kwa dau la £5m.
- Kiungo Alex Song (29) ametua Westham kwa mkopo kutoka Barcelona.
MANUTD
- Hatimaye KILLER Radamel Falcao (28) ametua ManUtd kwa mkopo wa msimu mmoja, kwa dau la £6m na mshahara wa £350,000 kwa wiki (£184,000 baada ya kukatwa kodi). ManUtd itaruhusiwa kumnunua jumla kwa kitita cha £74m.
- Javier Hernandez (CHICHARITO, 26) ametua Real Madrid kwa mkopo.
- Playmaker Shinji Kagawa (25) amerudi Borrusia Dortmund kwa dau la £8m.
- Beki Daley Blind (24, Holland) ametua ManUtd kwa dau la £13.8m
- Winga anayetisha Angel Di Maria (26) amekamilisha usajili Old Trafford kwa dau la £59.7m.
- Mkoba Marcos Rojo (16) ametua ManUtd kwa dau la 16m kutoka Sporting Lisbon, huku Winga Nani akielekea upande wa pili kwa mkopo.
- Mlinzi Rio Ferdinand (35) amehamia QPR kwa mkataba wa mwaka 1.
- Beki kinda Luke Shaw (19) ametua ManUtd kwa dau la £27m, kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa £100,000 kwa wiki. Luke Shaw anakuwa kinda ghali zaidi ndani ya EPL.
- Kiungo wa Athelic Bilbao Ander Herrera (25) ametua ManUtd kwa dau la £29m kwa mkataba wa miaka 5.
ARSENAL
- Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti huenda akatua ARSENAL msimu ujao kuchukua nafasi ya Arsene Wenger ambaye anaviziwa na Monaco ya Ufaranza kwa dau NENE.
- Mshambuliaji Danny Welbeck (23) ametua Arsenal kwa dau la £16m.
- Beki wa Arsenal Thomas Vermaelen (28) ametua Barcelona kwa dau la £15m.
- Beki kinda wa kulia Carl Jenkinson (22) amekwenda Westaham kwa mkopo.
- Beki kinda wa Southampton Calum Chambers (19, England) ametua Arsenal kwa dau la £16m.
- Golikipa wa Nice ya Ufaransa David Ospina (25, Colombia) ametua Arsenal kwa kitita cha £3.2m.
- Beki wa kulia wa Newcastle Mathieu Debuchy (28) ametua Arsenal kwa mkataba ambao haujawekwa wazi.
- Mshambuliaji wa Barca Alexis Sanchez (25) ametua Arsenal kwa kitita cha £35m.
- Golikipa Lukasz Fabianski (29) amehamia Swansea kama mchezaji huru.
CHELSEA
- Hatimaye mshambuliaji Loic Remy (17, France) ametua Chelsea kwa dau la £10.5m na mkataba wa miaka 4.
- Mkongwe Samuel Eto'o (33) amehamia Everton akiwa mchezaji huru.
- Kinda Romelu Lukaku (21, Belgium) amehamia Everton kwa dau la £28m kwa mkataba was miaka 5.
- Mkongwe Didier Drogba (36) ametua darajani kwa mkataba wa mwaka 1.
- Mshambuliaji Demba Ba (29) amehamia Besiktas kwa kitita cha £8m.
- Beki wa kushoto Filipe Luis (28, Brazil) ametua darajani kutoka Atletico Madrid kwa kitita cha £16m.
- Mshambuliaji anayetisha duniani kwa sasa Diego Costa (25) ametua Chelsea kwa dau la £32m.
- Kiung) ao mshambuliaji Cesc Fabregas (27) ametua Chelsea kwa dau la £30m, kwa mkataba wa miaka 5! Atavaa jezi namba 4.
- Beki anayepanda David Luiz (27) ametua PSG kwa kitita cha £40m, kwa mkataba wa miaka 5.
- Mkongwe Frank Lampard (35) amehamia New York City ya MLS, USA. Atachezea ManCity kwa miezi 6 kwa mkopo akisubiri MLS.
LIVERPOOL
- Mario Balotelli (24) ametua Liverpool kwa dau la £16m na mshahara wa £110,000 kwa wiki. Atavaa jezi namba 45.
- Kipa Victor Valdes (32) amekamilisha usajili wa kuhamia Liverpool. atatua Anfield mwezi Novemba.
- Beki wa kushoto Alberto Moreno (22, Spain) wa Sevilla ametua Liverpool kwa dau la £12m.
- Mshambuliaji kinda Divock Origi (19, Belgium) amehamia Liverpool kwa dau la £10m. Lakini atabaki Lille kwa mkopo.
- Beki 'mkoba' Dejan Lovren (25, Croatia) wa Southampton ametua Liverpool kwa dau la £20m. Ujio wa Lovren umemwondoa Daniel Agger (29) ambaye amerudi kwao Denmark kujiunga na timu yake ya zamani Brondby.
- Winga kinda Lazar Markovic (20) ametua Liverpool kwa dau la £20m kutoka Benfica.
- Luis Suarez amehamia Barcelona kwa tita la £75m, mkataba wa miaka 5.
- Kiungo Adam Lallana (26) amehamia Liverpool kwa mkataba wa miaka 5 kwa dau la £25m na mshahara wa £100,000 kwa wiki.
- Mshambuliaji wa England Rickie Lambert (32) ametua Liverpool kwa mkataba wa miaka 2 kwa dau la £4m.
MANCITY
- Beki Micah Richards (26) ametua Fiorentina kwa mkopo kwa dau la £3.5m.
- Mshambuliaji Alvaro Negredo (29) ametua Valencia kwa mkopo.
- Mkoba kisiki wa Porto Eliaquim Mangala (23) ametua ManCity kwa dau la £32m.
- Kiungo mkongwe Frank Lampard (35) ametua ManCity kwa mkopo wa miezi 6 ili kujikeep fit akisubiri msimu wa MLS.
- Full Beki JEMBE Bacary Sagna (31) amesaini mkataba wa miaka 3. Atalipwa £140,000 kwa wiki.
- ManCity wametega dau la £53m kumng'oa kiungo kinda anayetisha duniani Paul Pogba (21) kutoka Juventus.
ULAYA
- Kiungo wa Real Madrid Xabi Alonso (32) ametua Bayern Munich kwa dau la £5m.
- Kiungo Alex Song (29) ametua Westham kwa mkopo kutoka Barcelona.