Hapa ni mtaa wa Mshangano Manispaa ya Songea pembeni kuna michepuko wa kwenda Tunduru, Mtwara hadi Dar gari zote zinapita hapa barabara haiwezi kuhimili.
Halafu hapa stendi watu wengi na hakuna trafiki raia anajitolea huyu.
Si kosa lake, serikali yake imelala. Ukiona upuuzi wa namna hii katika nchi yeyote ile basi juwa kuwa serikali yake imelala. Nchi yetu ina matatizo sana ya uongozi, wamemuua bure Magufuli tu.
Hapa ni mtaa wa Mshangano Manispaa ya Songea pembeni kuna michepuko wa kwenda Tunduru, Mtwara hadi Dar gari zote zinapita hapa barabara haiwezi kuhimili.
Halafu hapa stendi watu wengi na hakuna trafiki raia anajitolea huyu.
Hapa ni mtaa wa Mshangano Manispaa ya Songea pembeni kuna michepuko wa kwenda Tunduru, Mtwara hadi Dar gari zote zinapita hapa barabara haiwezi kuhimili.
Halafu hapa stendi watu wengi na hakuna trafiki raia anajitolea huyu.
Hapa ni mtaa wa Mshangano Manispaa ya Songea pembeni kuna michepuko wa kwenda Tunduru, Mtwara hadi Dar gari zote zinapita hapa barabara haiwezi kuhimili.
Halafu hapa stendi watu wengi na hakuna trafiki raia anajitolea huyu.
Jamaa kapiga sana kazi.na trafiki walipita na gari yao wakasimamishwa hadi watu wavuke,nikamwambia mnaona huyo jamaa anajitolea kufanya kazi yenu?wanajibu bila aibu tumemuona.