Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Jamani Trafiki ebu tuoneeni huruma jamani doh mtatufirisi kama mkiendelea hivi, mnakaa kwenye mataa hasa pale Morocco mnakamata gari za watu kwa kuwabambikia makosa ya kupita taa nyekundu, na mtu asipowapa ya kubrashi viatu mnatwanga ya kwenye hiyo mashine zenu?
Mafuta yameshapanda jamani inatosha mtuache tuchangie sirikali kupitia huko.
Nawasilisha kama mtasoma mkaelewa jirekebisheni kwakweli.
Mafuta yameshapanda jamani inatosha mtuache tuchangie sirikali kupitia huko.
Nawasilisha kama mtasoma mkaelewa jirekebisheni kwakweli.