Nipo bukoba kikaz,sikutegemea kukuta hii hali katika eneo linalotajwa kama sehem ya wasom(nshomile),polis wa usalama barabaran wanasumbua raia hatari,mbaya zaid ni kuhusu pikipik vijana wa bodadoda wanasumbuliwa kupita kias,hivi ni nan anawapa askar jeur ya kuchukua funguo na lesen.kamanda mpinga imulike bukoba upande wa trafic pameoza,tochi wanazitumia kutafuta hela ya kula tu ,fuatilia maeneo yafuatayo,rwamishenye juu njia ya kuelekea mtukula ni chaka la kupiga hela tu,zebra karib na machinjion wameficha mtu karib na kona ya open university ile njia kila trafic anataka akae pale,wao ni kulazimisha 10 elf au ishirin hawatoi lisit wala nn,ukiwakomalia wakuandikie kama kwel una kosa wanakuona unawaharibia wanaamua kukulazimisha makosa kibao kukukomoa ,nimepambana nao last week mpaka wakaanza kuongea huyu sio mhaya ,kama mmezoea kupiga hela za wahaya kwa mteremko mjue saiv bukoba kuna wagen pia tusio wahaya pia.natoa tahadhar trafic bukoba mbadilike ohooooo!