mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Duuh mbuzi kafia kwa muuza supuhahaaa mweusi shoo!yeah hensam !lol
Duuh mbuzi kafia kwa muuza supuhahaaa mweusi shoo!yeah hensam !lol
Tunda limeshaiva hilo atungue alilehaaaaaaahhhh usiiikariri
Napenda zaidi ile bendi laivupatamu pale samaki samaki
Haijabomolewa juzi nilikuwa hapo sjui pombee ilikuwa kumkwich badala nishuke ground na lift nikaishia gorofa ya pili nikaanza kushangaaa vepeee tena huku nimetokea wapi nageuza macho niangalie lift nashangaa ipo gorofa ya 3 ikabid nishuke mdogo mdogo huku nayumba kama gar ya dangote imezidiwa mzigoHivi haijabomolewa bado? si kipindi kile walisema itabomolewa kwa kuwa imejenga juu ya bomba la mafuta.
Any way mie napenda sana kucheza dansi pale Nyumbani (Samaki Samaki)
Mtoa mada we wachukie hao ma traffic na polisi wale wengine JWTZ wasamehe wale wana afadhaliHuyu trafik alinisimamisha siku moja wknd jpili nilikua naenda msamvu,nilihofu kiasi kwasababu sikua na lesen niliisahau home
akakagua vya kukagua na vimaswal vya hapa napale,triangle,bima,etc
nilikua na wanangu wakamchangamkia akatuachilia...
Basi imekuwa kawaida yake akiniona tu atafanya vimizengwe mradi nipunguze speed,
juzi nilimkuta kituo cha kanisani bas aliponiona akasogea barabarani nikampa hi ,na katabasam kakulazimisha (kwasabab siwapendi trafiki,police,wajeshi kwa ubabe wao huwa natamani kuwa mbabe zaid yao) ,.. basi imekuwa NDALILO ,jana ndo kajifanya kuvuka barabara mbele ya gari nayoendesha jicho lote kwangu akatoa kaulimi kidogo!oooohhh
nachojiuliza ananijuaje ni mbiti? kama kakariri plate # basi na mimi nikariri namba zake za begani!lols
natamani asihamishwe barabara lol niwe namuona tu
[HASHTAG]#akilizapasaka[/HASHTAG]
cc NAHUJA
hahahahha au vile vitaa vyao vya rangi rangi viliku miksi hahahahahahahaHaijabomolewa juzi nilikuwa hapo sjui pombee ilikuwa kumkwich badala nishuke ground na lift nikaishia gorofa ya pili nikaanza kushangaaa vepeee tena huku nimetokea wapi nageuza macho niangalie lift nashangaa ipo gorofa ya 3 ikabid nishuke mdogo mdogo huku nayumba kama gar ya dangote imezidiwa mzigo
Nitakuja na wine za dodoma maana pale hawachelewi kusema s anna elf 20000 wakat huku dom napata mbilihaaaaahhhhhhhhhhhh!leo nitapitaa flomi!ukija shtua me
Duu huu ushauri wa nguvu za gizahahahahah, onja ladha ya "trafic" mweusi. hahahahahah. Unaonekana shoga uliolewa ukiwa "sealed" na hujaona tena nyingine, hebu onja ya askari wa kikosi cha usalama barabarani (mweusi) ulinganishe na ya Mr, wako hahahaha.
Akili za kuambiwa changanya naza kwako (JK)
Duu huu ushauri wa nguvu za giza
Kule juu patakuwa.palinichanganya aiseee sema kitu niliyotumia ilikuwa na haki ya kunizinguahahahahha au vile vitaa vyao vya rangi rangi viliku miksi hahahahahahaha
Kule juu patakuwa.palinichanganya aiseee sema kitu niliyotumia ilikuwa na haki ya kunizingua
duh hivi kibuti ndio kinakuwaga hivi hiii hi hi nalia kwa uchungu sanahaahaaa am sorry rafiki!huo mzuka sina!tubak anonimazi
MBITIYAZA naomba tutafutane niko Morogoro kwa kipindi Fulani kifupi ila chenye tija ni-PM tuonane nimefikia Arc Hotel
haahaaa am sorry rafiki!huo mzuka sina!tubak anonimazi
duh hivi kibuti ndio kinakuwaga hivi hiii hi hi nalia kwa uchungu sana