Kofia, mtungi wa faya,leseni, bima, tyre ziwe mpya, stika ya nenda kwa usalama, jacket la upepo, suruali ngumu, viatu va kuendeshea pkpk, gloves, pkpk iwe safi, indicators, wengine ongezeni
Duh sikujua hilo. Hapa Dar pikipiki ndo zinaongoza kwa kukiuka kanuni za usalama barabarani na matrafiki wanawaangalia tu. Wao wako bize na virikuu, malori, daladala na magari ya watu binafsi yatakayoingia kwenye anga zao za kuotea ...
Kofia, mtungi wa faya,leseni, bima, tyre ziwe mpya, stika ya nenda kwa usalama, jacket la upepo, suruali ngumu, viatu va kuendeshea pkpk, gloves, pkpk iwe safi, indicators, wengine ongezeni