Habari za jioni.
Kwa wakazi wa kigamboni hatuna uzoefu na foleni za magari barabarani kulikoni leo?
Kuanzia kona ya kuelekea darajani (Keep left)Kisiwani kuelekea Kibada kuna foleni heavy ni nini kimetokea huko waungwana. Tunaomba msaada kwa Traffic Police aliye karibu atusaidie hali ni mbaya sana, gari hazisogei kabisa.
Asanteni.