Pascalzebalozi
Member
- Sep 30, 2015
- 73
- 20
Wasalaam wakuu,
Naomba kwa wenye uzoefu na kampuni za kukodi tractor, excavators pamoja na vifaa vya kupalilia (weeding machines) anisaidie. Mimi nipo dar es salaam ila shamba liko mkuranga. Aksanteni
Naomba kwa wenye uzoefu na kampuni za kukodi tractor, excavators pamoja na vifaa vya kupalilia (weeding machines) anisaidie. Mimi nipo dar es salaam ila shamba liko mkuranga. Aksanteni