Tractor za kukodi na excavators

Tractor za kukodi na excavators

Joined
Sep 30, 2015
Posts
73
Reaction score
20
Wasalaam wakuu,

Naomba kwa wenye uzoefu na kampuni za kukodi tractor, excavators pamoja na vifaa vya kupalilia (weeding machines) anisaidie. Mimi nipo dar es salaam ila shamba liko mkuranga. Aksanteni
 
Excavator itaharibu shamba kwa kuondoa udongo Bora, Bora uchome moto
 
Mimi nahitaji kama unao tafadhali niunganishe tu ndugu Ahsante bado nahitaji

ninalo mkuu ila kunawana walikuwa na yao so nilitaka kujua ka ulipata ama la ili nikuunganishe nao ila kwasasa ni msimu so hawawezi toa
 
Back
Top Bottom