Yeyote mwenye kutoa huduma ya kilimo kwa njia ya tractor.
Nahitaji huduma hiyo. Mahali shamba lilipo ni Magoza mji mpya kabla ya kuingia Mkuranga.
Ofa yangu ni 70000tsh kwa heka.
Zipo heka 30.
Nahitaji tractor lilime wala sio kupalia kama picha zinavyoonyesha.
View attachment 414506View attachment 414506
Wasiliana nasi ktkt namba 0714796870
View attachment 414506View attachment 414509
+255624070410