Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,618
- 9,609
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabishara mkoani hapa, Odilo Ngamiraga amesema wafanyabishara hawajagoma kutumia mashine hizo na kwamba tatizo lipo kwa wasambazaji ambao pindi wanapokwenda huambiwa wasubiri.[/QUOTE]
Hapo kwenye bold ndio ninapo chokaga kabisa; uzembe wa mtu mwingine athari zinaenda kwa mtu asiyehusika; hivi hakunaga sheria ya kuadhibiwa huyu anayemsababishia mtu mwingine matatizo!?