TRA wameita kwenye usaili

TRA wameita kwenye usaili

alma gemela

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
842
Reaction score
280
wale waliomba nafasi za kazi online august 2013 wameitwa kupitia email zao na usaili jumatano ijayo 29 jan
 
sure!kuna mdada yuko mwanza kanicall asubuhi kuwa ameitwa record management assistant ila hataweza kuja dar kwa usaili sababu boyfriend wake kamkataza anataka wa shereheke valentine day 14 feb, a day before interview.then ana mwaka wa pili jobless
sasa akawa ananiomba ushauri afanyeje?
 
sure!kuna mdada yuko mwanza kanicall asubuhi kuwa ameitwa record management assistant ila hataweza kuja dar kwa usaili sababu boyfriend wake kamtataza anataka wa shereheke valentine day 14 feb, a day before interview.
sasa akawa ananiomba ushauri afanyeje?

Hapana n tar 29 jan, yaan wiki ijayo mwambie vzuri
 
Achague moja boyfriend kwanza au job? Na huyo boyfriend wake anautindio wa ubongo au?
 
sure!kuna mdada yuko mwanza kanicall asubuhi kuwa ameitwa record management assistant ila hataweza kuja dar kwa usaili sababu boyfriend wake kamkataza anataka wa shereheke valentine day 14 feb, a day before interview.then ana mwaka wa pili jobless
sasa akawa ananiomba ushauri afanyeje?

Mhhhh huu muunganiko umetushirikisha ili tutoe ushauri kwa bidada au ili useme ana utindio wa ubongo maana kama sijaelewa
 
Tajiri wa kike : iweje demu wako apate nafasi ya kufanya usaili na umkataze kisa unataka raha ya siku moja? What is valentine day?
 
Tajiri wa kike : iweje demu wako apate nafasi ya kufanya usaili na umkataze kisa unataka raha ya siku moja? What is valentine day?

mimi siungi mkono swala la boifrend kumkataza bidada ila mchangia mada sikumuelewa maana yake ya kuleta hiyo mada alitaka tutoe ushauri au tufanyeje?
 
sure!kuna mdada yuko mwanza kanicall asubuhi kuwa ameitwa record management assistant ila hataweza kuja dar kwa usaili sababu boyfriend wake kamkataza anataka wa shereheke valentine day 14 feb, a day before interview.then ana mwaka wa pili jobless
sasa akawa ananiomba ushauri afanyeje?

mwambie asijal sana tutamfuata hukohuko kumfania usahiji muheshimiwa wetu tunajua anaogopa kupigwa risasi nae
 
ujinga mtupu watu badala ya kuongea mambo ya maana mnaanza boyfriend kamkataza,,jamani tuelimike
 
sure!kuna mdada yuko mwanza kanicall asubuhi kuwa ameitwa record management assistant ila hataweza kuja dar kwa usaili sababu boyfriend wake kamkataza anataka wa shereheke valentine day 14 feb, a day before interview.then ana mwaka wa pili jobless
sasa akawa ananiomba ushauri afanyeje?

mh!??hawako serious hawa!
 
Back
Top Bottom