emma-chriss hiyo ni parking lot yake inatizamana na ninapoishi,
hizo gari ni zake, sio kua ziko unregistered ila mm ndo nimefuta number kwani ana haki ya privacy. DULLAH B. wivu ninao ila sio wakike ni wa maendeleo tu mkuu.
sure mkuu...ila waweza kuta jamaa kischwani yupo vizuri, pia ana shule ya kutosha....pia pengine ameingia pale fasta fasta amechukuwa mikopo mikubwa na akafanya mambo makubwa. au ndio hivyo tena yaweza yakawa mambo ya RUSHWA.