watu wameishaanza kazi! we unaulizia mambo ya interview we fanya ujasiliamali!
"Wadau naomba msaada kwa yeyote mwenye tetesi za interview ya TRA kazi zilizotangazwa Nov 2012 za preventive assitant"
bado hawajaita, kuwa mvumilivu ndg..
wataanza kuita baada ya siku 21
huo ndo utaratibu wao, afterol kama amefanya vizuri kwny written na aliweza kukabili vizuri kipindi cha maswali ya papo kwa papo asiwe na shaka coz i heard watarecruit pipo nyingi
hello, JF! its TIRUMANYWA here saying hi to you.
Okey., SaWA SAwA., wacha tuji pange., thanks bwanawataanza kuita baada ya siku 21