TRA- internal investigator

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
974
wadau, kuna jamaa kanitonya kuwa interview inakaribia, kwa yule anayejua hints za maswal yao atujuze hasa wale wadau wanaofanya kazi tra wanaweza wakatupa abc's
 
kwani wameshawapigia cm au? if not,then how do you knw that u r going to be selected?
 
msaidieni jamani kama mnajua kuitwa au kutokuitwa kusiwe kigezo, kama unajua msaidieni, kwanini umkatishe tamaa?
 
wadau, kuna jamaa kanitonya kuwa interview inakaribia, kwa yule anayejua hints za maswal yao atujuze hasa wale wadau wanaofanya kazi tra wanaweza wakatupa abc's

True say
 
msaidieni jamani kama mnajua kuitwa au kutokuitwa kusiwe kigezo, kama unajua msaidieni, kwanini umkatishe tamaa?

sio kama tuna mkatisha tamaa ndugu bali ni katika kuuliza maana waosubili huo wito tuko wengi sasa kama walishaitwa atujuze ili nasi tusiwe ktk hiyo xpektng for th best! na sio kumkatisha tamaa kama ulivyo changia.....
 
nafasi zenyewe ni tano. Wameomba wengi unategemea nin.? Ass accountant 2liitwa elf tano wakachukuliwa saba
 
mh kweli majanga nahisi kustaafu maana nisha choka kuaaply
 
mh kweli majanga nahisi kustaafu maana nisha choka kuaaply

jamani hiyo kitu nimeambiwa na mhudumu wa ofisi kiasi kwamba hajui chochote kuhusu maswali, so kama kuna mtu ana experience/ ufahamu wa interview zao basi atujuze kwa faida ya wengi, natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…