Nipo Morogoro na nimebahatika kuangalia Abood TV asubuhi na kukutana na kituko hiki.
TRA wanakusanya kodi kwa waendesha bodaboda na kijana mmoja aliyekuwa akiwakimbia alifukuzwa na gari la TRA na kutumbukizwa mtaroni kisha gari lile likakimbia.
Mku wa TRA anaeleza kuwa watu watii sheria za nchi akijitahidi kutetea kitendo hicho.
Je TRA wanruhusiwa kufanya haya?
Nimeliweka jambo katika siasa kwani juzi tu hapa Masasi kulichafuka na kuitia serikali hasara kwa upuuzi wa trafiki mmoja aitwae Komba.
TRA tafuteni njoa mbadala za kuwabana bodaboda kuliko kufukuzana nao barabarani,nchi ina watu ambao wamekata tamaa na wanaweza wakatutia katika doa kwa jambo dogo.
TRA wanakusanya kodi kwa waendesha bodaboda na kijana mmoja aliyekuwa akiwakimbia alifukuzwa na gari la TRA na kutumbukizwa mtaroni kisha gari lile likakimbia.
Mku wa TRA anaeleza kuwa watu watii sheria za nchi akijitahidi kutetea kitendo hicho.
Je TRA wanruhusiwa kufanya haya?
Nimeliweka jambo katika siasa kwani juzi tu hapa Masasi kulichafuka na kuitia serikali hasara kwa upuuzi wa trafiki mmoja aitwae Komba.
TRA tafuteni njoa mbadala za kuwabana bodaboda kuliko kufukuzana nao barabarani,nchi ina watu ambao wamekata tamaa na wanaweza wakatutia katika doa kwa jambo dogo.