mkuu pengine hujapata hoja yangu, hoja yangu si kupunguza watu ila hoja yangu ni jinsi gani serikali ilijiandaa
1. Kimiundombinu
2. Kuwa na "skilled and expirienced expert" wa automate data system katika customs?
Haiwezekani kama walikuwa wamejianda vya kutosha kukawa na haya matatizo ya system kuwa down kwa zaidi ya siku tatu na mara nyingine hata wiki! Na hii inaadhiri biashara ukizingatia vitu vingi vinakuwa imported, na kibaya zaidi port wanapokuchaji storage charge hawazingati swala la system kuwa down ambayo ndiyo iliyopelekea mzigo wako kuchelewa kutoka