Tpdc

Tpdc

yewomi

Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
78
Reaction score
27
Kwa wale mliofanikiwa kufika NBAA tunaomba mtujuze kama wameshaweka matokeo
 
Naipongeza bodi kwa kazi nzuri waliyo ifanya,

Ila kinacho nishangaza ni kukosekana kwa jina la mtu wa 20, na ni kwa nn wawe 19 na anayefata maksi alizopata hazijafungana na mtu !
 
naskia wote walioitwa kesho for oral wamepigiwa sim...then wamebandika marks za kila aliepiga pepa
 
Nashukukuru kwa taarifa mana wengine hatujaweza kufika hapo
 
naskia wote walioitwa kesho for oral wamepigiwa sim...then wamebandika marks za kila aliepiga pepa

Marks zimebandikwa saa ngapi?? Naondoka pale zimebandikwa namba tu za watu hayo.matokeo ya marks yamebandikwa wapi.tena namba zisizo na majina
 
Marks zimebandikwa saa ngapi?? Naondoka pale zimebandikwa namba tu za watu hayo.matokeo ya marks yamebandikwa wapi.tena namba zisizo na majina

maksi zilibandikwa mda ule ule. Baada ya kubandika kwenye ubao wa mbele namba za waliofuzu na kukosa nafasi ya kubandika maksi, ilibidi wawaambie watu kuwa maksi za kila mmoja wanaenda kuzibandika ubao wa nyuma.
 
Back
Top Bottom