Ninaomba kuuliza kwa mwenye taarifa ya nafasi za kazi zilizotangazwa na TPB Bank za Bank officers 2 (Pemba), deadline yake ilikuwa tarehe 16/07/2018. Je wameita watu kwa ajili ya usahili?
phobia!
Tpbs ni benki ya serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
Halafu kutosafiri nako kunachangia
Pemba kuna polisi,tpdf,Tiss,ttcl n.k ambapo vina watumishi wakristo
we baki na njaa yako kwa kuendekeza udini,wenzako wanapiga kazi