Mkuu hata mm naona kwa bei hiyo kanatosha hata kukimbizia watoto shule, lkn kupasua njia kuja huku Bara km Kondoa hakatafika,Chukua 2.5 sasa ivi mkuu Sent from my iPhone using JamiiForums
Gar ipo katika hali nzuri sana himelipowa vibal vyote namba B ipo dar es salaam mziki haircondition full kiyoyoz bei inapungua kidogo
Haya matangazo ya jeiefu bana...
Toyota vidz, haircondition, mziki teh teh teh!!!
Vidz himelipowa.....aiseee sasa hiyo haircondition ndio funga kazi.Ninunulie mwaya doctor iwe inanicondi😀shia nywele zangu