Acheni kupaisha gari bwana, hilo gari limekuwa imported 2011 kati ya mwezi wa 5 na wa 8, kaangalie kadi. Kipindi hicho kuagiza gari ya cc1490 kushuka chini, CIF pamoja na ushuru haizidi milioni 5. Miaka 12 baadae mtu anataka aliuze milioni 4.3!???.., Kwa ajili ya hizo rim au!?,hebu kuweni serious.., hilo gari akitokea mtu ana milioni 2 chukua fasta. Gari likishatembea bongo hata miaka miwili linashuka thamani sio starlet, ist wala nini. Na ombea mmiliki asiwe anakaa madale, makabe, chanika, etc huko ndanindani.