wakuu naomba kwa mwenye information anijuze hivi hii SUV kuifikisha hapa Bongo inakuwa kiasi gani? ikiwa msrp (manufacturer's suggested retail price) ni 60,795 USD (100,311,750 Tshs).
wakuu naomba kwa mwenye information anijuze hivi hii SUV kuifikisha hapa Bongo inakuwa kiasi gani? ikiwa msrp (manufacturer's suggested retail price) ni 60,795 USD (100,311,750 Tshs).
hahaaa haaa mkuu V8 ya 2014 ni zaidi ya hiyo yenyewe msrp ni 79605 USD (131.348,250 Tshs) so wakiamua kuchukua sequoia 2014 watakuwa wamejishusha kitu ambacho sidhani km wanaweza kufanya