Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 990
Naomba kuuliza,View attachment 756734
Latest one ni la 2009 Mkuu
Achana na huyo jamaa atakua na uzoefu wa Mikokoteni make hawezi kuwa serious eti New model ni 2003..
Hii ya mwaka 2009 na ile ya Mwaka 2003 ukiacha tofauti ya mwaka kuna tofauti ingine yoyote kwenye body, ndani, engine, etc?
Manake isije ikawa ni hiyo hiyo ya mwaka 2003 imeendelea kutengenezwa mpaka mwaka 2009 mkasema ni toleo jingine