Acha ujinga soma vizuri alichokiandika ndo uje kukoment amesema toyota raum new modelHuu ujinga mtaacha lini, Gari ya mwaka 2003 halafu unasema new model?
Hahaaa hebu ficha upumbavu wako kijana, makosa yaleyale ndio umekuja yatetea.Acha ujinga soma vizuri alichokiandika ndo uje kukoment amesema toyota raum new model

Hahaaa hebu ficha upumbavu wako kijana, makosa yaleyale ndio umekuja yatetea.
Unaelewa maana ya gari new model wewe? Kwa akili zako fupi za kuvukia barabara nawe unakubali hiyo raum ya 2003 ni new model...![]()
![]()
Ndugu niko makini ninapomkosoa mtu, tatizo la hawa madalali wa mtaani kila gari inayoingia tokea japan kwao wanaita new model bila hata kujiuliza toleo la mwisho limetoka mwaka gani.Hahaha
Mkuu labda raum hawana model mpya zaidi ya hiyo ya 2003
Kama IPO waelimishe wawekee na picha kabisa,bishaneni kwa hoja siyo maneno tu kama waimba taarabu
Kwani kuna raum model zaidi ya hiyoHuu ujinga mtaacha lini, Gari ya mwaka 2003 halafu unasema new model?
Bei Iko fair kbsa mm Nna uwezo wakuiuza 8.5Hiyo being 8m ni tatizo
Basi iuze mkuu!Bei Iko fair kbsa mm Nna uwezo wakuiuza 8.5
Ova
Asante kwa kumuelewesha mkuu bt mm ndio mmiliki wa iyo gar mkuu sio dalali mmhiyo ndiyo new model ya raum, hakuna nyingine na walianza kuzitoa 2003 ukiacha zile za mwaka 1998!! so dalali yupo sawa kabisa kwamba ni new model maana hawajatoa models nyingine isipokuwa hiihii ya 2003 ndo imeendelea kutengenezwa nadhani mpaka 2007
Kama wewe ni mmiliki hapo sawa na usimpe gari yako dalali,wanazingua kishenzi kama vile wanajua uchungu wa kuagiza gari Japani.Asante kwa kumuelewesha mkuu bt mm ndio mmiliki wa iyo gar mkuu sio dalali mm
Ndugu niko makini ninapomkosoa mtu, tatizo la hawa madalali wa mtaani kila gari inayoingia tokea japan kwao wanaita new model bila hata kujiuliza toleo la mwisho limetoka mwaka gani.
Kwa toyota raum kuna toleo hadi la mwaka 2008 japo sina uhakika kama wametoa jipya zaidi ya hilo...