Hyo Premio ya kuagiza namba DLJ ambayo,ukiagiza hadi inakufikia 12 had 13M,je hyo ya kwako inakipi cha ziada kuconvice umma uinunue? je imetembea Km ngapi, je ni cc ngapi coz zinatofautiana
habari kuna hii gari premio new model ya mwaka 2006 gari nzuri sana maarufu gear mkasi ,engine ndogo, km chache elfu 70 bei inaenda kwa mil 14 tu chap kwa haraka serious buyer 0714787795 gari dar unaletewa kuangali gari ukiwa na hela ya kuweka mafuta kukwepa usumbufu.
tatizo rangiwatu naona hajajua tifauti angalia taa za nyuma na pia gear zipo tofauti hii ni ya mwaka wa mbele 2006 showroom zinauzwa mil 16.5 fanyeni utafiti.
Ushauza ?ok kumbe rangi ndio tatizo
New model kwa kibongo bongoSasa kaka kama hyo ni new model na ya mwaka 2017 tuiiteje?
CIF $3,200 = Tshs 7,200,000Tuwekee hapa CIF value, Duties & Taxes na Port & Agency fee charges ili tufanye comparison
Poandio mkuu tayari nimeshaiuza
Imetulia sana aiseeipo hiyo nyingine kiongozi