Gari halina tatizo lolote, ilipoingia nchini ilibadilishwa matairi ya mbele kuwekwa brand new ya dunlop, imefungwa alarm system ya auto watch. Sababu ya kuuza kwa dola ni kwamba niliagizia kwa dola na nataka kununua kwa lakini kama kuna mtu anataka kulipia kwa shillings ni maelewano tu.
Usione hatari kutaja matatizo yake madogo madogo na kwanini unaiuza.
Picha zaidi pia, usijekuwa ulipiga picha gari ya mtu wakati inakatiza barabarani.
Funguka!
gari hi automatic transmission. na kiukweli gari halina tatizo lolote kikweli inatembea barabarani kama kawaida isipo kuwa mambo ya wear and tear. gari imeingia nchini mwezi wa 5 mwaka huu. imebadilishwa shock abs na matairi ya mbele kuwekwa brand new. halafu ina viti mpaka nyuma au wanavyosema ni 8 seater. picha zake nyingine nitaziweka.
Haya magari unatakiwa uwe unatembea na kisima cha mafuta --- mwenye hela ya mawazo utaishia kufunguliwa suruali mchana na jua linawaka ha ha ha ha. Kumbukeni hiyo siyo vitz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.