Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,344
- 5,947
Hatimae mfalme wa 4*4 imara kutoka Japan amekuja kivingine ikiwa ni toleo jipya na muendelezo wa 200 series,,, hi ya sasa ni completely re-design iitwayo 300 Series!
Wasifu wake:
Imeboreshwa kwa kupewa engine ya V6 Twin Turbo yenye uwezo wa kuzalisha 400HP tofauti na ile V8 kubwa ya 5.7L iliokuwa inazalisha 381HP! Hii ni ili kuongeza ufanisi yani fuel efficiency na ku maximize power!
Driving assistance package kama lane departure! Camera ya 360 sorround na mazaga zaga mengine!
Interior redesign kwenye upande wa infotainment napo wamefanya modifications!
Some pictures
Hapo mwenye design mzee tumepigwa...yani ni copy and paste ya nissan V8
Mzee lc. 300 series wamezingua kwenye body appearance, hasa kwa mbele. Yani iko kama box,
Jamaa anakimbiza vibaya ngoja tuone mdundo wake utakuwajeHata kama, lakini si zote made in japan mzehe!
Toyota hasa LC series ina loyal fans na enthusiasts waliosambaa dunia nzima.
I think design wise, hilo gari bado kabisa. Hakuna zile "wow" features. Anavyoviweka vilikuwepo kwenye makampuni mengine.
Nadhani angetoa na 4.4l V8 twin turbo yenye over 550hp. Ingependeza zaidi.
Otherwise, gari ya kawaida sana.
Jamaa anakimbiza vibaya ngoja tuone mdundo wake utakuwaje
Tutafika tu mkuuHizo gari nazipenda sana mkuu, ila uwezo wa kuimiliki sina mzee baba.
Kidogo sana hizo.Kama unaongelea kimo ..kama ipo chini sana ni kwasababu ya hp 800.
Gari kama hili lenye 800 hp automatically watu wanlitakia speed so linabidi lishushwe ili liwe stable zaidi.
Ila 800hp dah
Kama nyingi hv kwa suv
Uzinduzi wa Toyota Patrol au Toyota Escalade!!Dude lenu limezinduliwa leo.
Tutafika tu mkuuView attachment 1814287
Hizo zinaingia sokoni rasmi mwezi wa 6 huu worldwide so tarajia tu by mwezi wa 9 hivi kuziona zinazurura bongo uraiani! 200 series utawala sana sema ndio ishakuwa dated yani ikija hii utaielewa zaidi utaiona 300 series ndio kali zaidi japo sijaipenda side mirror zake muundo haujaendana na body
Kidogo sana hizo.
Kuna balaa la Jeep Trackhawk, the most high-powered and quickest SUV, 0-60 in 2.3 seconds. Ukikuta ile Hennessey-tuned, mzee inakupa 1200 HP na 1,100 ft lbs of torque, fast as a Bugatti Chiron. Ingawa stock yake ni 707 HP na 645 ft lbs of torque.
Aisee.. Huyu mnyama nimeona waarabu tayari wanae wanazunguka nae huko jangwani, yani ni balaa alafu spid ni 260.
Ukienda kwenye page ya Instagram ya toyota wameweka picha kibao hadi za muonekano wa ndani.
Ukiona ilivyo kwa ndani unaweza kuchoma moto ka ist kako
Landcruiser.Uzinduzi wa Toyota Patrol au Toyota Escalade!!
Duuuh kubwa mno so ndege sasa hiiLandcruiser.
Wamejitutumua na 405 hp.
Najua. Ila nimesema Toyota Patrol au Toyota Escalade kwa kuwa hili toleo jipya linafananishwa na Nissan Patrol na Cadillac EscaladeLandcruiser.
Wamejitutumua na 405 hp.
Ndogo ukilinganisha na ukubwa wa engine. Hiyo 400hp unaipata sasa kwenye gari ya CC 2000 tu.Duuuh kubwa mno so ndege sasa hii
Unaijua HP weweeNdogo ukilinganisha na ukubwa wa engine. Hiyo 400hp unaipata sasa kwenye gari ya CC 2000 tu.
Hiyo CC2000 body lake haliwezi kuwa kama la cruiser halafu likawa na hp 400 kihesabu haiwezekaniNdogo ukilinganisha na ukubwa wa engine. Hiyo 400hp unaipata sasa kwenye gari ya CC 2000 tu.