Bufa JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 14,226 Reaction score 30,461 Mar 17, 2021 #21 MIXOLOGIST said: Land Rover ni gari inayoaminiwa toka zamani Click to expand... Kama inaaminiwa kwanini mauzo yake yamepungua sana? Kwanini kampuni inashindwa kujiendesha sasa kila uchwao inanunuliwa na other manufacturers? Ni shirika gani duniani sio bongo au Africa tu bali duniani ambalo limebaki kutumia Land rover as their go-to car?
MIXOLOGIST said: Land Rover ni gari inayoaminiwa toka zamani Click to expand... Kama inaaminiwa kwanini mauzo yake yamepungua sana? Kwanini kampuni inashindwa kujiendesha sasa kila uchwao inanunuliwa na other manufacturers? Ni shirika gani duniani sio bongo au Africa tu bali duniani ambalo limebaki kutumia Land rover as their go-to car?
Torque vs HP JF-Expert Member Joined Jan 7, 2021 Posts 1,768 Reaction score 5,089 Mar 21, 2021 #22 Bujibuji said: Kwa hiyo Toyota anakwama wapi? Click to expand... Dereva wake ama 0 skills za off-roading.
Bujibuji said: Kwa hiyo Toyota anakwama wapi? Click to expand... Dereva wake ama 0 skills za off-roading.