Toyota Harrier inauzwa 16,000,000

MPALESTINA MWEUSI

Senior Member
Jun 6, 2012
140
117
Gari aina ya Toyota Harrier yenye cc 2200 rangi ya pearl namba D, ipo katika hali nzuri sana, inauzwa Tsh 16,000,000. Kwa mawsiliano piga 0628501275
 
weka picha hapa.. tuione!

je, ni 4W au 2W?

Odometer inasomaje?

Ina muda gani toka isajiliwe TZ.?

Nani mmliki wake? ni Me au Ke

Ilishawahi kupata ajali?

Imelipiwa kodi zote (road licence na Insurance)

Ipo mkoa gani na inafanya nini kwa sasa..?
 
Gari aina ya Toyota Harrier yenye cc 2200 rangi ya pearl namba D, ipo katika hali nzuri sana, inauzwa Tsh 16,000,000. Kwa mawsiliano piga 0628501275
Ni 2 wheel drive, km 130,000, ipo Dar, haijawahi kupata ajali, ilisajiliwa TZ kwa mara ya kwanza mwenzi march 2015, kwa sasa inatumika kwa matumizi ya kawaida tu, inamilikiwa na mwanaume
 
weka picha hapa.. tuione!

je, ni 4W au 2W?

Odometer inasomaje?

Ina muda gani toka isajiliwe TZ.?

Nani mmliki wake? ni Me au Ke

Ilishawahi kupata ajali?

Imelipiwa kodi zote (road licence na Insurance)

Ipo mkoa gani na inafanya nini kwa sasa..?
Ni 2 wheel drive, km 130,000, ipo Dar, haijawahi kupata ajali, ilisajiliwa TZ kwa mara ya kwanza mwenzi march 2015, kwa sasa inatumika kwa matumizi ya kawaida tu, inamilikiwa na mwanaume
 
Picha tafadhali
1495388346296.jpg
1495388384041.jpg
1495388400630.jpg
1495388422590.jpg
1495388445882.jpg
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom