ni nzuri hasa kwa mafuta haili sana ila spare zake ghali kidogo.ila kwa ujumla ni nzuri inanisaidia kubana matumizi
Mimi nimetumia hizo Gari sana na hadi sasa natumia Duet toleo la zamani ambalo lilijulikana kama Daihatsu. Hii ni Gari ya tatu ya aina hio naitumia bila shaka. Inakimbia balaaa na ina stability ya kufa mtu. Fuel consumption Ndio usiseme. Inatembea hadi 14km/L. Hizi Ndio Gari nzuri unaweza kukimbia hadi 160km/hr na upishane na Malori wala isitikisike. Naongea from experience
Niliyonayo sasa hivi naiuza pia. Namba na CLS km 20,000
Umenichekesha sana,ninaenda gym sidhani kama yule jamaa naweza mfikia.Nashukuru kwa ushauri.Umenikumbushia toyota duet yangu niliyoiuza kutatua shida kubwa iliyonikabili. Niliipendea kwa ulaji mdogo wa mafuta na stability barabarani. Rafiki yangu aliyeinunua sijamsikia akilalamika.
Mshikaji wangu, kama wataka kumiliki hiyo gari endelea tu ila angalia shape yako isikaribie ya yule mzee wa mbamba bay!
gari ya mahouse gal kwendea markit ongeza kidogo tafuta corola hivi vigari visivyo na boot nyuma mimi huwa naona vimekaa kitoto au kihouse gal siwezi kuendesha bora nipande taxi
gari ya mahouse gal kwendea markit ongeza kidogo tafuta corola hivi vigari visivyo na boot nyuma mimi huwa naona vimekaa kitoto au kihouse gal siwezi kuendesha bora nipande taxi
heshima yako kwanza mkuu :A S 27::A S 103: hivi hapo sasa hivi unatumia gari gani vileee?
toyota carina,naishi kimara shida ya maji kila siku naweka madumu manne nikienda kazini nakuja na maji ya kuoga na kupikia ,ingekuwa hiyo duet si itakuwa majanga
gari ya mahouse gal kwendea markit ongeza kidogo tafuta corola hivi vigari visivyo na boot nyuma mimi huwa naona vimekaa kitoto au kihouse gal siwezi kuendesha bora nipande taxi
Eti mtu anatafuta pesa hadi kufoji imprest ili kununua Duet! Kama pesa ya kununua gari zuri huna,bora upande Bodaboda
Gari za mabahili hizo, mda wote jicho kwa speedometer!
Gari ka kiatu cha mtoto