bora usingeweka picha mkuu,maana umenikatisha tamaa kabisa
Hahahha, dah jamaa mbavu zangu! Hiyo gari mara 100 ununue bajaj boxer bm150 body mwili unaweza kufika salama lakin si huo mkweche,
Mkuu tuheshimiane na heshimu biashara za watu kwani sikujui hunijui sio lazima uchangie unaweza ukapita kimyakimya tu nitakuona wa maana sana
Picha za Toyota corsa
Hahahha, dah jamaa mbavu zangu! Hiyo gari mara 100 ununue bajaj boxer bm150 body mwili unaweza kufika salama lakin si huo mkweche,
Gari yako ni aina gani? Tuwekee picha za ndani na nje.
Wengi mnao comment hamjawahi hata Kuwa na ndugu mwenye gari
bora usingeweka picha mkuu,maana umenikatisha tamaa kabisa