Chukua tu acha uoga. Huyo ni kama mke. Unamuendesha kidogo kidogo hamna haja ya papara. Popote unapita kaka mwendo wa kinyonga tu. Wese lako tu hapo ndo litalohusika zaidi.
Kazi ni kwako
Chukua tu acha uoga. Huyo ni kama mke. Unamuendesha kidogo kidogo hamna haja ya papara. Popote unapita kaka mwendo wa kinyonga tu. Wese lako tu hapo ndo litalohusika zaidi.
Kazi ni kwako
Huu ni ushauri wa hekimatele asante sana bana hii mashine nimefuatilia ina system ya umeme kuendesha engine. Hata hivyo mkuu HT asante kwa changamoto na ushauri