Toyota Brevis D4 vvti

Donkey

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
1,431
1,446
Wadau naomba kufahamu kuhusu gari aina ya Toyota Brevis, Engine D4 vvti. Je ziko imara au zina matatizo gani haswa na matunzo yake.Ahasentini
 
Hizo engine ni nzuri sana na safar hapo ni ya uhakika,,isipikuwa usije ukarogwa ukatia oil fake,,na usije ukaweka petrol fake humo,,utajuta pia usipende kuichokonoa hiyo engine,,peleka kwa fund anayejua kanun za ufundi,,sio taa haiwak fund anaanza kufungua mavitu hovyo bila kujua mfumo wa taa unaanzia wap,,hiyo engine haitak vitu fake,, ila ni engine saf sana,,ukiitunza na kuihudumia kwa ufasaha
 
Hizo engine ni nzuri sana na safar hapo ni ya uhakika,,isipikuwa usije ukarogwa ukatia oil fake,,na usije ukaweka petrol fake humo,,utajuta pia usipende kuichokonoa hiyo engine,,peleka kwa fund anayejua kanun za ufundi,,sio taa haiwak fund anaanza kufungua mavitu hovyo bila kujua mfumo wa taa unaanzia wap,,hiyo engine haitak vitu fake,, ila ni engine saf sana,,ukiitunza na kuihudumia kwa ufasaha
Nashukuru sana kwa ushauri mzuri
 
Wadau naomba kufahamu kuhusu gari aina ya Toyota Brevis, Engine D4 vvti. Je ziko imara au zina matatizo gani haswa na matunzo yake.Ahasentini
Maoni yangu nikiwa kama muuza magari,


Hizi gari ni moja kati ya gati bora na nzuri sana.

Zina perfomance nzuri na zinadumu mno ukizingatia matunzo.

Pia, hata utumiaji wake wa mafuta ni wa kawaida mno, kuliko wengi wanavyo dhani.

Ikiwa kama wewe labda ni mpenzi wa "ligi" za barabarani. Yenye 3,000cc inakufaa mno sababu ni 2jz engine

Ila ikiwa wewe ni mtu wa kupenda mwendo wa kawaida, basi 2,500cc ni nzuri pia kwa kuwa ni 1jz engine.

Uzuri ni kwamba, hio toyota lexus IS yaani altezza yenyewe, ni uzao huo wa kwenye brevis
Pia, toyota brevis ni sawa tu na toyota progres maana toyota progress ni pacha wa brevis.

Na hizi zilitengenezwa kwa lengo la kupambana na hizi Bmw 3-series na Mercedes C-class za miaka hio.


So, unapokua na brevis, basi jione kuwa una gari nzuri na yenye nguvu na ya kistaarabu.


Unapokua na brevis, ni sawa na una toyota altezza au lexus IS.

Brevis ni gari nzuri na imara sana, ila tu kumbuka kwamba, system yake kubwa ni ya umeme hivyo kwenye service inahitaji mafundi wazuri.



Hayo ndio maoni yangu!
 
Hizo engine ni nzuri sana na safar hapo ni ya uhakika,,isipikuwa usije ukarogwa ukatia oil fake,,na usije ukaweka petrol fake humo,,utajuta pia usipende kuichokonoa hiyo engine,,peleka kwa fund anayejua kanun za ufundi,,sio taa haiwak fund anaanza kufungua mavitu hovyo bila kujua mfumo wa taa unaanzia wap,,hiyo engine haitak vitu fake,, ila ni engine saf sana,,ukiitunza na kuihudumia kwa ufasaha
Well said!
 
Maoni yangu nikiwa kama muuza magari,


Hizi gari ni moja kati ya gati bora na nzuri sana.

Zina perfomance nzuri na zinadumu mno ukizingatia matunzo.

Pia, hata utumiaji wake wa mafuta ni wa kawaida mno, kuliko wengi wanavyo dhani.

Ikiwa kama wewe labda ni mpenzi wa "ligi" za barabarani. Yenye 3,000cc inakufaa mno sababu ni 2jz engine

Ila ikiwa wewe ni mtu wa kupenda mwendo wa kawaida, basi 2,500cc ni nzuri pia kwa kuwa ni 1jz engine.

Uzuri ni kwamba, hio toyota lexus IS yaani altezza yenyewe, ni uzao huo wa kwenye brevis
Pia, toyota brevis ni sawa tu na toyota progres maana toyota progress ni pacha wa brevis.

Na hizi zilitengenezwa kwa lengo la kupambana na hizi Bmw 3-series na Mercedes C-class za miaka hio.


So, unapokua na brevis, basi jione kuwa una gari nzuri na yenye nguvu na ya kistaarabu.


Unapokua na brevis, ni sawa na una toyota altezza au lexus IS.

Brevis ni gari nzuri na imara sana, ila tu kumbuka kwamba, system yake kubwa ni ya umeme hivyo kwenye service inahitaji mafundi wazuri.



Hayo ndio maoni yangu!
..Bei zikoje mkuu?
 
3373f3a134ad61ff5dae73c86156d525.jpg
 
Maoni yangu nikiwa kama muuza magari,


Hizi gari ni moja kati ya gati bora na nzuri sana.

Zina perfomance nzuri na zinadumu mno ukizingatia matunzo.

Pia, hata utumiaji wake wa mafuta ni wa kawaida mno, kuliko wengi wanavyo dhani.

Ikiwa kama wewe labda ni mpenzi wa "ligi" za barabarani. Yenye 3,000cc inakufaa mno sababu ni 2jz engine

Ila ikiwa wewe ni mtu wa kupenda mwendo wa kawaida, basi 2,500cc ni nzuri pia kwa kuwa ni 1jz engine.

Uzuri ni kwamba, hio toyota lexus IS yaani altezza yenyewe, ni uzao huo wa kwenye brevis
Pia, toyota brevis ni sawa tu na toyota progres maana toyota progress ni pacha wa brevis.

Na hizi zilitengenezwa kwa lengo la kupambana na hizi Bmw 3-series na Mercedes C-class za miaka hio.


So, unapokua na brevis, basi jione kuwa una gari nzuri na yenye nguvu na ya kistaarabu.


Unapokua na brevis, ni sawa na una toyota altezza au lexus IS.

Brevis ni gari nzuri na imara sana, ila tu kumbuka kwamba, system yake kubwa ni ya umeme hivyo kwenye service inahitaji mafundi wazuri.



Hayo ndio maoni yangu!
Niingia kwenye hii life style. Ukiona iko na rangi ya malooooon ujue niko nyuma yako.
 
Back
Top Bottom