mmh, kwa kweli sijui sana, ila leo nimekutana na rafiki yangu anatafuta disc pads pale kisangani kaambiwa bei ni 120,000 kwa set. ila ukitaka za taiwan ni 30,000 ananiambia alifunga za taiwan zimeisha baada ya two months.
haina tatizo the best car i ever seen .....niko nayo mwezi wa tatu sasa ina cruise vibaya sana ...yaani ijumaa iko dar usiku napiga ulanzi iringa jtatu iko dar.....very nice car .....labda tatizo lake kubwa ni kuwa inakimbia sana
haina tatizo the best car i ever seen .....niko nayo mwezi wa tatu sasa ina cruise vibaya sana ...yaani ijumaa iko dar usiku napiga ulanzi iringa jtatu iko dar.....very nice car .....labda tatizo lake kubwa ni kuwa inakimbia sana