Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
kaka huna haja ya kuwajibu hao wajinga. kwanza hawana hela ya kununua alteza. na pili hawana mafuta ya kuweka katika alteza. ww kaa kimya hamna haja ya kuwajibu. anayetaka ataku pm. au kukutafuta katika cm. hata magari hawana hao. na ukiona analo basi kakodisha au la shemeji zao. achana nao. ni kawaida ya masikini. iko kitu kimesimama. potezea hao kapuku.
wewe ndio Mjinga hapa JF sio wote wajinga km nyie kwanini hatusaidiani kupeana ukweli?
hiyo gari hata km ipo ktk CIF ukaileta haiwezi kufikia 14m (kwani FOB haizidi $ 3300)
TRA hawataki gari iliyozeeka kupita miaka 10 gari ya 2001 moja unapigwa faini
kuna gari km hiyo Toyota Altezza zipatazo 30 kwenye mtandao wa alibaba
Japan Used Car Toyota Altezza, Japan Used Car Toyota Altezza Manufacturers, Japan Used Car Toyota Altezza Suppliers and Companies on Alibaba.comUsed Cars
Papizo acha usanii ingia ktk mitandao pekua na fika Banki yoyote hasa CRDB peleka milioni 7 au wasiliana na makampuni utasaidiwa kupata gari yako na Ubalozi wetu Japan wanawasaidia wengi wasitapeliwe
Fungukeni jamaani mbona faida ya JF hamuioni au mpaka tuwaombe Founder na Mods watuwekee ukurasa wake wa ku-Import Bidhaa maana ktk Desktop wauzaji wa magari walikuwepo
ingia Google tafuta www japanese used car
Last edited by a moderator: