Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Ahsante mkuu,
Nafikiri wanafikiria kwanza na kujishauri!!
Kagari kazuri sana hako, kanakimbia sio mchezo. Kwa wale vijana vijana izo ndo gari za kutesea mjini changamjieni bei yake ndo iyo na naiona iko saaaafi kabisa
Shakir vipi Suzuki grand escudo 2.0 ya kuanzia 2002?