Hakika leo nimeshuhudia maajabu ya soka. Timu iko nyuma ya mpira dk ya 83 na inaongoza goli tatu. Wachezaji wanaleta utoto na kocha anawapigia makofi ya kuwahamasisha badala ya kuwafokea.
Serge Aurier, D Sanchez, na Winks walikuwa vinara tu, ila kikosi chote ukiacha Kane wamesababisha kupoteza mchezo.
Ngumu kuchukua ubingwa ikiwa tunapoteza points kitoto namna hii.