Hueleweki.
Hii ni Spur amabyo ndiyo hiyohiyo iliyomtandika Madrid hapo Wembley, kwahiyo hawatashindwa kumnyoosha juventus hapo Wembley. Huwezi fananisha ujinga walioufanya spur wakasababisha goli mbili za mwanzo na uchezaji walioucheza
Spurs ndio walicheza mpira. Baada ya kupigwa lile goli la pili la penalt, upande wa spurs ndo ulikuwa umefikia ukingoni kuweza kushinda. ila waliweza kucheza kandanda na kuudi katika gemu.
Spurs waliweza kuwachezesha jamaa nusu uwanja na jamaa walikuwa kwao.
Refa ni wa nani? na nani amekoma? maana kutoka kufungwa 2 bila mpaka 2-2, inamaana droo ya 0-0 tot kapita droo ya 1-1 tot kapita droo ya 2-2 extra time, kiufupi mwenye asilimia kubwa ya kuvuka ni TOT.