Tottenham Hotspurs Thread


Asante sana kwa utabiri wako mzuri
 
UEFA ni special kwa Mabingwa tu Sio kwa Team ndogo kama Spurs Kabla hamjawaza kushinda UEFA wazeni kwanza kushinda Carabao cup.
 
Refa ni wa nani? na nani amekoma? maana kutoka kufungwa 2 bila mpaka 2-2, inamaana droo ya 0-0 tot kapita droo ya 1-1 tot kapita droo ya 2-2 extra time, kiufupi mwenye asilimia kubwa ya kuvuka ni TOT.

Refa bado kawabeba leo milkuwa mnywe 3-1
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…