Tottenham inatarajiwa kuwa miongoni mwa klabu zitakazomsajili kiungo wa kati wa klabu ya Calgiari Nahitan Nandez , ambaye pia alikuwa akisakwa na Inter Milan, Napoli, Roma na Fiorentina, wakati dirisha la uhamisho litakapofunguliwa mwezi Januari. Klabu hiyo ya Serie A ipo tayari kumuuza mchezaji huyo mwaka mpya.