Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,790
Toto Afrcans wnaipenda rangi ya kijani kuliko wanavyojipenda binafsi wao wenyewe. Kupagawishwa na rangi na mapenzi yao kwa Yanga wameona bora washuke daraja lakini wakaipa ubingwa Yanga kuliko Ubingwa kwenda kwenye Timu Rangi zake zinapingana na zile za CCM