Toto Africans wanaipenda rangi ya kijani kuliko wanavyojipenda binafsi wao wenyewe

Baraghash

JF-Expert Member
Dec 18, 2012
2,713
1,790
Toto Afrcans wnaipenda rangi ya kijani kuliko wanavyojipenda binafsi wao wenyewe. Kupagawishwa na rangi na mapenzi yao kwa Yanga wameona bora washuke daraja lakini wakaipa ubingwa Yanga kuliko Ubingwa kwenda kwenye Timu Rangi zake zinapingana na zile za CCM
 
Hii timu bora hata isipande daraja tu,maana ikishapanda tayari yanga ina pointi sita
1c0e4b740d0c039240d5eeb2c20b3714.jpg
 
Back
Top Bottom